
pichani juu olivier giroud akifunga goli la kwanza
wakati huo huo mesut ozil kafikisha pasi zilizo zaa magoli 8 ambazo hazija fikiwa na yoyote msimu huu wakati mmichezo inaendelea

joel campbel akishangilia goli lake la kwanza epl akiwa na arsenal
matokeo mengine man city wamepata ushindi wa goli 2-1 huku kolalov akikosa penalt, manchester united wakitoa sare dhidi ya crystal palace, chelsea imeambulia kipigo cha goli 2-1
No comments:
Post a Comment