karibu

kwa habari moto moto

Monday, November 9, 2015

vijana chini ya miaka 17 wa nigeria watetea ubingwa wao wa dunia

nigeria imeteta ubingwa wake wa dunia mara bada ya kuifunga mali ushindi wa bao 2-0 nigeria wametetea ubingwa wao mara baada ya mwaka jana kunyakua ubingwa huo wa dunia chini ya miaka 17


wachezaji wa nigeria chini ya umri wa miaka 17 wakiserebuka ushindi wao

No comments:

Post a Comment