derby ziko nyingi sana kuna ac milan vs inter milan hii couple inapatikana italy, kuna buyern munich na borrusia dotmond hii ujerman, england ndio zipo nyingi sana kuna huku england huwa zile top four zikicheza huwa zina vuta hisia za watu na kama hujui vizuri derby za nchi hiyo utasema hizo ndio derby mfano man u akicheza na arsenal hii sio derby ila kutokana na ukubwa wa mechi hii utadhani derby wakti derby zao spurs kwa upande wa arsenal huku man city kwa upande wa man u na nyingine nyingi
leo hii tuna angalia derby ya hispania amabayo yafahamika kama el clasico

Rekodi zao sasa hadi sasa
katika el clasico timu zote zimefunga magoli 546 katika mechi walizo kutana tangu mwaka 1929 haddi sasa, kila timu imefunga magoli 99 ugenini. magoli mengi kufungwa katika mchezo mmoja ulikuwa mwaka 1935wkati real madrid ilipo ifunga barcelona magoli 8-2 na mwaka 1943 timu hizo zilipo toka sare ya goli 5-5 magoli ya mapema katika derby hiyo karim benzema alifunga sekunde ya 23 decembe 2011
toka mwaka 1929 barcelona imeshinda mara 67 wakti real madrid imeshinda mara 71

katika mchezo wa leo leonel messi atakosekana kwa kuumia kiazi cha mguu wakati wachezaji ghali watano wakichzea wote wataweka historia neymar,suarez,ronaldo .james na bale wana kamailisha kiasi cha $367m
No comments:
Post a Comment