karibu

kwa habari moto moto

Friday, November 20, 2015

Rekodi za el clasico

Faraja na amani duniani kote kwa 55% wana huwa wana penda michezo haswa kandanda na kandanda kila mmoja ana kile akipendecho huyu anapenda chelsea kama makoleko kalibonge, huyu anapenda liverpool kama alikiba huyu anapenda barcelona kama dimond platnumz na yule arsenal kama ramadhani nongo na huyu manchester united kama saidi mpapuka sasham, hayo ni mapenzi tu na wengi sana wanapenda timu zao huku kila mmoja anakuwa na uwezo wa kuongea kama timu inapo fanya vizuri,
derby ziko nyingi sana kuna ac milan vs inter milan hii couple inapatikana italy, kuna buyern munich na borrusia dotmond hii ujerman, england ndio zipo nyingi sana kuna huku england huwa zile top four zikicheza huwa zina vuta hisia za watu na kama hujui vizuri derby za nchi hiyo utasema hizo ndio derby mfano man u akicheza na arsenal hii sio derby ila kutokana na ukubwa wa mechi hii utadhani derby wakti derby zao spurs kwa upande wa arsenal huku man city kwa upande wa man u na nyingine nyingi
leo hii tuna angalia derby ya hispania amabayo yafahamika kama  el clasico 

Rekodi zao sasa hadi sasa
katika el clasico timu zote zimefunga magoli 546 katika mechi walizo kutana tangu mwaka 1929 haddi sasa, kila timu imefunga magoli 99 ugenini. magoli mengi kufungwa katika mchezo mmoja ulikuwa mwaka 1935wkati real madrid ilipo ifunga barcelona  magoli 8-2 na mwaka 1943 timu hizo zilipo toka sare ya goli 5-5 magoli ya mapema katika derby hiyo  karim benzema alifunga sekunde ya 23 decembe 2011
toka mwaka 1929 barcelona imeshinda mara 67 wakti real madrid imeshinda mara 71
katika mchezo wa leo leonel messi atakosekana kwa kuumia  kiazi cha mguu wakati wachezaji ghali watano wakichzea wote wataweka historia neymar,suarez,ronaldo .james na bale wana kamailisha kiasi cha  $367m


No comments:

Post a Comment