karibu

kwa habari moto moto

Friday, November 13, 2015

qchilla na tid kama zamani

aboubakari katwila almaaruf q-chila na Khalid mohamedi TID wameamua kuondoa ugomvi wao uliopo na kuamua kurudi kama zamani, wakizungunza na kipindi cha clouds fm wakati q-chillah akitambulisha ngoma yake mpya alo mshirikisha tid


qchila akiwa na  tid moja ya ngoma zao zamani nilikataa

qchila amesisitiza wakongwe wasaidiwe washikwe mkono kwani wameisaidia bongo flava kufika hapa aidha qchila ametanabaisha kuwa baada ya kutoa video ya ngoma hiyo ndipo project yao ya pamoja itarejea

No comments:

Post a Comment