karibu

kwa habari moto moto

Monday, November 23, 2015

magufuli atoa tamko hakuna sherehe za uhuru december 9

Raisi wa jamhuri ya muungano wa Tanzania leo ametoa tamko kuwa sherehe za uhuru zifanyike kwa staili tofauti badala ya bajeti inayotumika siku hiyo itumike katika mipango ya kutengeneza maendeleoa mengine nchini
dk john pombe magufuli hapo wakati huo akiwa katika kampeni

raisi huyu mteule kupitia  chama cha mapinduzi ccm amesema  kupitia vyombo vya habari kuwa pesa na bajeti itakayo tumika katika sherehe hiyo zitatumika katika maendeleo mengine ya kitaifa hii ni katika kutekeleza ahadi zake mbali mbali alizo ziahidi ili kuboresha maisha bora na kauli mbiu yake ya hapa kazi tu
magufuli amepata kura milioni nane tofauti ya kura milioni mbili ya mshindikani wake edward lowasa kupitia chadema mwezi octoba mwaka 2015

No comments:

Post a Comment