
dk john pombe magufuli hapo wakati huo akiwa katika kampeni
raisi huyu mteule kupitia chama cha mapinduzi ccm amesema kupitia vyombo vya habari kuwa pesa na bajeti itakayo tumika katika sherehe hiyo zitatumika katika maendeleo mengine ya kitaifa hii ni katika kutekeleza ahadi zake mbali mbali alizo ziahidi ili kuboresha maisha bora na kauli mbiu yake ya hapa kazi tu
magufuli amepata kura milioni nane tofauti ya kura milioni mbili ya mshindikani wake edward lowasa kupitia chadema mwezi octoba mwaka 2015
raisi huyu mteule kupitia chama cha mapinduzi ccm amesema kupitia vyombo vya habari kuwa pesa na bajeti itakayo tumika katika sherehe hiyo zitatumika katika maendeleo mengine ya kitaifa hii ni katika kutekeleza ahadi zake mbali mbali alizo ziahidi ili kuboresha maisha bora na kauli mbiu yake ya hapa kazi tu
magufuli amepata kura milioni nane tofauti ya kura milioni mbili ya mshindikani wake edward lowasa kupitia chadema mwezi octoba mwaka 2015
No comments:
Post a Comment