karibu

kwa habari moto moto

Monday, November 2, 2015

aston vila yaajiri kocha mpya

aston villa wame pata kocha mpya mara baada ya kumfukuza kazi aliye kuwa kocha wa awali tim shawood, villa waementeua kocha wa zamani wa lyon remi garde kuwa kocha mkuu wa timu hiyo,
151102043048_remi_garde_512x288_getty
                                                                   Remi garde

hata hivyo ata kwaana na kibarua kizito pindi kocha huyo mechi yake ya awali atacheza na tottenham spurs 02/11/2015
kocha huyo amenteua reginald ray kuwa msaidizi wake ,, ray alikuwa kocha wa bastia


No comments:

Post a Comment