karibu

kwa habari moto moto

Saturday, November 28, 2015

Jamie Vardy amevunja rekodi ya Ruud van Nistelrooy

Jamie Vardy ameweka rekodi ya kipekee katika ligi kuu ya england baada ya kufunga goli 11 katika mechi 11 alicho cheza msimu huu mfululizo rekodi hiyo ilishikiliwa na rud van nestoroy alie ichezea mamchester united
jamie vard
                 
jamie vard akishangilia goli katika mechi zilizo pita

vardy amekuwa na msimu mzuri tangu ligi ianze amezifunga timu zote 11 alizo kutana nazo msimu huu



No comments:

Post a Comment