karibu

kwa habari moto moto

Monday, November 9, 2015

moyes afutwa kazi real sociedad

kocha alie jizolea sifa nyingi england katika timu ya  everton david moyes , yamekuta tena yaliyo mkuta manchester united moyes 52 amefututwa kazi baada ya mwenendo mbovu wa timu hiyo ambayo msimu ulio pita aliishia nafasi ya 12 na bod ya timu hiyo kuamua kusitisha mkataba wake


                                  david noyes akiwa mazoezin
nafasi yake ataikaimu kocha msaidizi  billy mckinlay,moyes alichukuliwa na timu hiyo msimu ulio pita 2014 baada ya kutimuliwa kazi manchester united

No comments:

Post a Comment