karibu

kwa habari moto moto

Sunday, November 8, 2015

mesut ozil aweka rekodi bpl

kiungo mshambuliaji wa arsenal ameweka rekodi baada ya kutoa usaidizi(assist) 6 mfululizo na kutoa pasi za magoli michezo 11 ambapo hakuna yeyote alie wahi kufanya rekodi ,ozili alie sajiliwa kwa dau kubwa katika histotia ya timu ya arsenal kwa dau la paundi 42 mwaka 2013


ozil amevuka kiwango cha kutoa nafasi za magoli alizo funga za msimu ulio pita ambapo alitoa assist 9 ,,hadi sasa ozili amefikisha 10 bado 10 nyingine afikishe rekodi ya thierry henry,

wakati huo huo arsenal imetoa sare katika uwanja wake wa nyumbani dhidi ya spurs ambayo ilianza kupata goli kupitia harry kane goli la kusawazisha la arsenal lilipatikana kupitia gibbs aliengia kuchukua nafasi ya joel campbel hivyo kufikisha alama 26 sawa na manchester city alie mzidi kwa magoli

No comments:

Post a Comment