
ozil amevuka kiwango cha kutoa nafasi za magoli alizo funga za msimu ulio pita ambapo alitoa assist 9 ,,hadi sasa ozili amefikisha 10 bado 10 nyingine afikishe rekodi ya thierry henry,
wakati huo huo arsenal imetoa sare katika uwanja wake wa nyumbani dhidi ya spurs ambayo ilianza kupata goli kupitia harry kane goli la kusawazisha la arsenal lilipatikana kupitia gibbs aliengia kuchukua nafasi ya joel campbel hivyo kufikisha alama 26 sawa na manchester city alie mzidi kwa magoli
No comments:
Post a Comment