karibu

kwa habari moto moto

Tuesday, November 17, 2015

Job ndugai ndiye spika wa bunge la jamhuri ya muungano wa Tanzania

job ndugai ndiye spika wa bunge la 10 la jamhuri ya muungano wa tanznaia mara baada ya kuibuka mshindi wa kiti hicho kwa 70% ya kura zilizopigwa mchana wa leo, wagombea walikuwa wengi ,moja ya mgombea wa kiti hiko alikuwa hashim rungwe ambae yeye hakutokea bungeni katika kujieleza

mheshimiwa spika  job ndugai moja ya picha zake

ndugai ni mbunge teule wa jimbo la kongwa dodoma ,katika bunge lililopita alikuwa naibu spika wa bnge akiwa chini ya mama anna makinda  ambae aliweka historia ya spika wa kwanza mwanamke Tanzania tangu ipate uhuru

No comments:

Post a Comment