karibu

kwa habari moto moto

Tuesday, November 10, 2015

wenger na jamie vard waibuka na zawadi za mwezi england

arsene wenger amechaguliwa kuwa kocha wa mwezi 10 baada ya kufanya vizuri mwezi huo,, akaifunga manchester united ,3-0,everton 2-1 na mwisho swansea city 3-0 hivyo kufanya kuto fungwa mwezi huo


arsene wenger akibeba zawadi yake
wakati huo huo katika kutoa zawadi hizo mchezaji bora wa mwezi huo ni jamei vard
Leicester's Jamie Vardy has been named the Barclays Premier League Player of the Month for October

vard akishikilia zawadi yake

jaie vard amevunja rekodi mbli mbali msimu huu mara baada yakufunga mechi 11 mfululiza na kufanya kuwa mchezaji bora wa mwezi huo vard amefunga goli nne

No comments:

Post a Comment