
arsene wenger akibeba zawadi yake
wakati huo huo katika kutoa zawadi hizo mchezaji bora wa mwezi huo ni jamei vard

vard akishikilia zawadi yake
jaie vard amevunja rekodi mbli mbali msimu huu mara baada yakufunga mechi 11 mfululiza na kufanya kuwa mchezaji bora wa mwezi huo vard amefunga goli nne
No comments:
Post a Comment