karibu

kwa habari moto moto

Sunday, November 29, 2015

chicharito aweka rekodi

javier Hernandez ma jina maarufu chicharito tayari amevunja rkodi ya kuwa mchezaji kutoka mexico kushinda mechi saba mfululizo wakati rekodi zikivunjwa msimu huu kutoka ligi mbali mbali naye chicharito ameweka yake wakati rekodi hiyo alikuwa ina shikiliwa na hugo sanchez
                                   
chicharito ameondoka manchester united msimu huu nakutua buyern leverkusen akifanya vizuri tabgu atue hapo, wakati manchester united wakipata taabu mtu wa mwisho wa kufunga hiki kifaa kinafanya vizuri ujerumani na kuwa mchezaji wa kwanza kutoka taifa la amerika kufunga mechi saba mfululizo


No comments:

Post a Comment