Meneja wa dimond platnumz amesema hana mpango wa staa wa bongo flava naibu abdul kufanya ngoma kwa lugha ya kingereza watasubiri sana. akizungunza na kipindi cha xxl cha clouds fm kipengele cha 255 kinacho endeshwa na perfect crispin
babu tale akiwa na dimond platnumz
amesema muziki wake umemtambulisha bila ya kuongea kingereza ukitizama ile ngoma ya my number one remix aliyo imba na davido haikuwa ya kingereza kwahiyo hakuna sababu ya yeye kuongeza
No comments:
Post a Comment