karibu

kwa habari moto moto

Monday, November 23, 2015

Bbabu tale amesema dimond hatoongea kingereza katika nyimbo zake

Meneja wa dimond platnumz amesema hana mpango wa staa wa bongo flava naibu abdul kufanya ngoma kwa lugha ya kingereza watasubiri sana. akizungunza na kipindi cha xxl cha clouds fm kipengele cha 255 kinacho endeshwa na perfect crispin
Instagram media by babutale - Music makes money, however music also needs money. Big Tingz.
                                  babu tale akiwa na dimond platnumz 

amesema muziki wake umemtambulisha bila ya kuongea kingereza ukitizama ile ngoma ya my number one remix aliyo imba na davido haikuwa ya kingereza kwahiyo hakuna sababu ya yeye kuongeza

No comments:

Post a Comment