karibu

kwa habari moto moto

Friday, November 6, 2015

masanja wa ze commedy ajitosa kuwania ubunge ludewa

masanja mkandamizaji wa kikundi cha ze comedy amejitosa rasmi kugombea ubunge jimbo la ludewa  baada ya alilokuwa deo filikunjombe,

Masanja Kwenye Foleni ya Ubunge Ludewa.. Ataacha Komedi? Asipopita? Viatu vya Marehemu?
masanja mkandamizaji

wagombea wengi ni,deo ngalawa, evearisto mtitu,zefania jwahula,james mgaya, johnson mgimba na simon ngatunga

No comments:

Post a Comment