karibu

kwa habari moto moto

Tuesday, November 3, 2015

mourinho atozwa faini kwa lugha chafu kwa mara nyingine

mourinho tena katika vichwa vya habari wiki hii,, chama cha soka england kime mtoza faini kocha wa chelsea baada ya kutoa lugha chafu dhidi ya mwamuzi aliechezesha dhidi ya west ham united kocha huyo mara kwa mara mwaka huu amepata adhabu mfululizo sasa atatoza faini ya pound 40,000
2E07D6C000000578-0-image-a-12_1446460168025

mourinho amekiri kosa dhidi ya  matamshi yake hivyo kama haja kata rufaa atakosa mechi moja

No comments:

Post a Comment