
hivi ndivyo mitandao mbali mbali ilivoyo andika,, magoli mawili yaliyo fungwa na koscienly na campble yanafikishamagoli 2002 sasa tangu wenger ashike hatamu , timu hiyo yenye makani yake lodoni emirate ,, ina mtihani mgumu jumatano itakutana na buyrn munich katika mchezo wa uefa ili ijihakikishie kubaki hatua ya mtoano inatakiwa waifunge buyern munich,, ili uwiano wa alama uwe sawa
arsenala ina majeruhi nane wa kikosi cha kwanza,, ramsey,walcot,chamberlein,rosicky,arteta,welbeck,wilshare na ospina
No comments:
Post a Comment