karibu

kwa habari moto moto

Friday, November 6, 2015

samweli sitta na zungu mchuano mkali

katika majina ambayo yatatatzamiwa yatakuwa naupizani mkubwa kuwania kiti cha uspika wa bunge la jamhuri ya muungano wa tanzania ni samweli sitta na mhe zungu ambao kwa pamoja ndio majina yanayo tajwa kuchuana vikali katika kinyang`anyiro hiko

Samuel Sitta.png




umahiri wa samweli sitta unafahamika katika bunge la tisa ambapo aliweka usawa na  umoja katka bunge hilo bunge lililopita alikatwa kwa kigezo  cha kumpisha mwanamke naye auongoze , akizungunza katika kipindi cha azam tv sitta amesema hato kubali kukatwa tena  kinacho takiwa anae pita ndiye atakaae ongoza



zungu yeye alifanya vizuri bunge lilo pita  kwa kuachiwa kuwa mwneye kiti ali tenda haki  ahata wapinzani walipenda  uongozi wake
 hivyo kutakuwa na umuhimu mkubwa katika kinyang`anyiro hiko




No comments:

Post a Comment