karibu

kwa habari moto moto

Friday, November 13, 2015

sichukui form ya spika maneno ya anna makinda

spika wa bunge lililopita mheshimiwa Anna makinda ametanabaisha kuwa hatochukua form ya kutaka uspika ,mh Makinda amesema huu ni wkati muafaka wa yeye kustaafu mara baada ya kulitumikia bunge na serikali zaidi ya miaka arobaini ya uongozi hivyo amewaacha wale walio kuwa wana tia mashaka ya yeye kugombania tena spika wa bunge


ANNA MAKINDA AKIWA BUNGENI
makinda ni mwanamke wa kwanza Tanzania kushika wadhifa wa uspika wa bunge la jamhuri ya muungano wa Tanznaia tangu taifa hilo lipate uhuru 1961, amesema kuwa huu ni wakati rasmi wa kustaafu ikiwa raisi alie maliza muda wake mwaka huu dkt jakaya kikwete ni rika lake ktk uongozi kama kikwete amestaafu na yeye hana budi kuwaachia wengine labda kuna kitu watafanya kwa ajiri ya taifa letu


No comments:

Post a Comment