
ANNA MAKINDA AKIWA BUNGENI
makinda ni mwanamke wa kwanza Tanzania kushika wadhifa wa uspika wa bunge la jamhuri ya muungano wa Tanznaia tangu taifa hilo lipate uhuru 1961, amesema kuwa huu ni wakati rasmi wa kustaafu ikiwa raisi alie maliza muda wake mwaka huu dkt jakaya kikwete ni rika lake ktk uongozi kama kikwete amestaafu na yeye hana budi kuwaachia wengine labda kuna kitu watafanya kwa ajiri ya taifa letu
No comments:
Post a Comment