karibu

kwa habari moto moto

Saturday, November 28, 2015

dimond sina tofuati na bob junior na ngoma inafuata

Msani nyota wa bonge flava  Nasib Abdul  kwa jina maarufuku diamond platnumz amesema kuwa kwa sasa hana ugomvi na Bob junior na washa maliza tofauti yao kinachofuata kuna project kali inakuja kati ya bob junior na dimond platnumz


 star huyo wa nana akizungunguza na millard ayo ametanabaisha kuwa kwa sasa kinacho fuata ni kazi nzuri zaidi na mkataba wake na mashabiki ni kutoa kazi nzuri ambazo wanazifurahia pia amesema wazi amepatana na produced mwingine wa ngoma ya ukimwona mawazo maneck hivyo kuna nyimbo kali ya mapenzi inakuja mda si mrefu
milard ayo amemuuliza swali kuhusu colabo yake ya kimataifa kasema bado wanaseti vitu na amewaomba mashabiki wake kuwa na subira

No comments:

Post a Comment