
star huyo wa nana akizungunguza na millard ayo ametanabaisha kuwa kwa sasa kinacho fuata ni kazi nzuri zaidi na mkataba wake na mashabiki ni kutoa kazi nzuri ambazo wanazifurahia pia amesema wazi amepatana na produced mwingine wa ngoma ya ukimwona mawazo maneck hivyo kuna nyimbo kali ya mapenzi inakuja mda si mrefu
milard ayo amemuuliza swali kuhusu colabo yake ya kimataifa kasema bado wanaseti vitu na amewaomba mashabiki wake kuwa na subira
No comments:
Post a Comment