karibu

kwa habari moto moto

Friday, November 6, 2015

arsenal hoi kwa buyern munich yapigwa 5-1

arsenal yaangukia  pua mara baada ya kuapishwa goli 5-0 na buyern munich mchezo ambao ulikuwa wa upande mmoja, arsenal imeingia katika mchezo huo bila ya nyota wake watatu wa kikosi cha kwanza, hector bellerin,theo walcot, aaron ramsey



nacho monreal akiwa katika harakati za mashambulizi
lewandowsk ndiye alie anza kufungua karamu ya magoli mara baada ya kufunga kwa kichwa huku mabeki wa arsenal wakiongozwa na per metersacker kudhania ameotea



lewandosk na debuchy
 goli la pili lilipatikana kupitia alaba baada yakupiga shuti kali lililo mshinda goli keeper wa arsenal petr chech ambaye ndiye alikuwa nyota wa mchezo,, magoli mengine yamepatikana kwa arjen ruben mpira wa kwanza tangu aingie ,thomasi mullar alie gunga mawili

goli la arsenal limepatikana kupitia olivier giroud

No comments:

Post a Comment