
nacho monreal akiwa katika harakati za mashambulizi
lewandowsk ndiye alie anza kufungua karamu ya magoli mara baada ya kufunga kwa kichwa huku mabeki wa arsenal wakiongozwa na per metersacker kudhania ameotea

lewandosk na debuchy
goli la pili lilipatikana kupitia alaba baada yakupiga shuti kali lililo mshinda goli keeper wa arsenal petr chech ambaye ndiye alikuwa nyota wa mchezo,, magoli mengine yamepatikana kwa arjen ruben mpira wa kwanza tangu aingie ,thomasi mullar alie gunga mawili

goli la arsenal limepatikana kupitia olivier giroud
No comments:
Post a Comment