
huo ndio msafara alio ufanya ghafla, katika mitandao ya kijamii wanaonesha kupata imani taratibu ya mhe mafuli wengi wao wana mpongeza kwa tukio hilo ,, lakini pia itawafanya wafanya kazi kukaa kazini na kufanya kazi

huo ndio msafara wake leo hii dk mafufuli yuko katikati
No comments:
Post a Comment