karibu

kwa habari moto moto

Friday, November 6, 2015

magufuli afanya ziara ya kushtukiza wizara ya fedha 6 hawakuwepo kazini

Rais mteule wa jamhuri ya muungano wa tanzania amefanya ziara ya kustukiza katika ofisi za fedha na kukuta wafanyakazi 7 hawapo kazini hivyo amewataka wajieleze kila mmoja ambae hakuwepo walikuwa wapi?




huo ndio msafara alio ufanya ghafla, katika mitandao ya kijamii wanaonesha kupata imani taratibu ya mhe mafuli wengi wao wana mpongeza kwa tukio hilo ,, lakini pia itawafanya wafanya kazi kukaa kazini na kufanya kazi


huo ndio msafara wake leo hii dk mafufuli yuko katikati

No comments:

Post a Comment