Mkurugenzi mkuu wa METL mohamedi interprices Tanznaia limited , Mohamedi dewji ameshinda tunzo ya Forbes person of the year ,wakati wa upokeaji wa tunzo hiyo mohamedi ewji amesema tunzo hiyo ni masirahi ya wataznaia wote

siku chache zilizo pita orodha hiyo ya watu 500 matajiri zaidi barani afrika amabapo dewji alikamata nafasi ya 21 ktk orodha hiyo ilisomeka kuwa ana utajiri wa dola bilion 1.1
No comments:
Post a Comment