
dimond kipengele cha afrika mashariki alikuwa ana gombania tunzo hiyo sambamba na alikiba,jose chamilion,jaguar na wengine ,wakati msanii bora wa mwaka alishindana na davido,alikiba,jose chamilion,wizkid, huku wimbo bora wa mwaka akiwa na alikiba,davido,wizkid,sarkide na wengine
wakati huo huo v-money vanesa mdee yeye amechukua wimbo bora wa afro pop hawajui

akiwa akishindana na yemi alade na wasanii wengine wakubwa, hivyo kufanya tunzo nne zimefika afrika mashariki
No comments:
Post a Comment