karibu

kwa habari moto moto

Sunday, November 15, 2015

dimond paltnumz na vanesa mdee wameshinda tuzo za afrima

Mwanamuziki Dimond platnumz na vanesa mdee wameshinda tuzo za afrima award zilio fanyika nchini nigeria usiku wa jumapili tarehe 15.11.2015 dimond platnumz ameshinda tunzo tatu ambazo ni artiste of the year,best male artiste in east africa na wimbo bora wa afrika
diamond afrima

dimond kipengele cha afrika mashariki alikuwa ana gombania tunzo hiyo sambamba na alikiba,jose chamilion,jaguar na wengine ,wakati msanii bora wa mwaka alishindana na davido,alikiba,jose chamilion,wizkid, huku wimbo bora wa mwaka akiwa na alikiba,davido,wizkid,sarkide na wengine
wakati huo huo v-money vanesa mdee yeye amechukua wimbo bora wa afro pop hawajui
vee

akiwa akishindana na yemi alade na wasanii wengine wakubwa, hivyo kufanya tunzo nne zimefika afrika mashariki


No comments:

Post a Comment