karibu

kwa habari moto moto

Tuesday, November 17, 2015

walifanya haraka

Leo katika ukurasa hu wa chambertalkshow1,blogspot inakuletea uchambuzi yakinifu wa wachezaji ambao walmefanya haraka kuondoka katika timu ya arsenal orodha ipo kubwa ila leo tuta wachambua watatu kati ya hao
1.Alexander Hleb amezaliwa 01 may 1981  nchini Soviet union ana urefu wa futi 6 na nch 1 amecheza timu nyingi sana ila arsenal ametua msimu wa 2005-2008 amecheza kwa mafanikio makubwa sana akiwacheza kama winger ya kusoto au kulia kuyokana na mpangilio wa mwalimu arsenal  amecheza mechi 89 na kashinda magoli 7


                                   

                                                    alexander Hleb akiwa arsenal
hakuna asiye jua kwa walie mtizama wakati anacheza timu ya arsenal kipindi hiko amecheza vizuri sana na alikuwa na kasi na msaada mkubwa sana hleb amefanya haraka kuondoka sababu kipindi hiko ndio alikuwa katika moto na kiwango cha juu akawahi kutondoka na kutimkia barcelona mwaka 2008-2012 lakini barcelona hakucheza sana alikuwa anatolewa kwa mkopo hadi anaondoka timu hyo
Maisha ya Hleb sasa ya mpia yako katika timu ya bate bolisov

2.Metheu Flamin mzaliwa wa ufaransa 7 march 1984 ametua arsenal mwaka 2004-2008 flamini alikuwa namba sita hodari sana alikuwa anapiga mashuti anahamasisha mbele za wachezaji wenzake japo hakuwa kapten wa timu mchamngo wake ulikuwa mkubwa sana ndani ya emirate kipindi hiko ,, flamini kilicho mtoa arsenal tamaa ya kuongezewa mshahara

   
                                                                      metheu flamin
ameondoka wakati mashabiki wa arsenal wanamuhitaji hakuna aakae kataa kwa kipindi hiko flamini ana kumbukwa kwa vituko vyake vya kukata jezi ikiwa ya mikono mirefu  ama kwa hakika hili llikuwa jembe sana ila amewahi sana kuhama timu hiyo yenye makao yake makuu mji wa london england, ameondoka arsenal mwaka 2008-2013 kaenda Ac milan nako hakuonesha tena zile cheche zake  japo arsenal amecheza mechi 102 na kafunga goli 7 wakti milani kacheza mechi 97 kafunga goli 7 pia mwisho wa msimu wa 2013v wamemuachia huru na kukubali tena kula matapishi yake kwa maana ya ule mshahara alie ukataa umeshushwa zaidi

3.alex song huyu nae kiungo hodari sana kipindi hiko amezaliwa 7 september 1987 nchini cameroon katua arsenal 2005-2006 kwa mkopo baadae wamemchukua moja kwa moja mwaka 2006 amecheza michezo 138 na amefunga magoli  7  huyu pia alikuwa na taama za kucheza na lionel mesi timu moja maana upendo wake kwa mchezaji huyo ulidhihirika hata kabla haja hama timu hyo


                                                       alex song 

naye amehama arsenal wakati bado anahitajika hivyo kuweka orodha ya wachezaji wengi wa arsenal walio hama wakati wanaweza na wangine


No comments:

Post a Comment