karibu

kwa habari moto moto

Saturday, November 7, 2015

pires ametaja kikosi chake bora sanchez,koscielny,cocquelin na cazorla waingia

hii ni first eleven ya mchezaji mkongwe wa arsenal aliye itoa kama  team yake ya wakati wote,, kama wachezaji wanao cheza sasa hivi wange kuwepo ni wachezaji wanne wa kikosi cha kwanza ndio wanfeweza kuanza katika kikosi chake
mara nyingi wachezaji wakitaja vikosi vyao bora kwa wapendao sasa pires ametaja kikosi bora

kocha :robert pires


No comments:

Post a Comment