karibu

kwa habari moto moto

Sunday, November 8, 2015

muziki wetu

diamond platnumz ni kijana wa kitanzania jina lake kamili ni nasibu abdul amezaliwa 02/10/1989 dar es salaam tandale kwa mtogole , hii hakuna isye ijua, kwanini nimeamua kuandika makala fupi inayo muhusu superstaa wetu huyu wa bongo flava


siku zote jitihada ndizo zina muweka mtu mahali popote pazuri bila shaka dimond amefanya jitihada nyingi za kujikwamua mwenyewe na kuonesha mfano kwa wengine wanao mzunguka,, dimond ni kijana ambae ametoka katika familia ya kawaida na kuwa famili kubwa kwa maana yenye mafanikio,,
kwanini diomond katika makala hii,,nasibu abduli a.k.a mond bin laden kama anavyo jiita huwa haachi kutumia fursa pindi aipatapo ametoka na nyimbo ya nenda kamwabie ambayo ameirekodi kwa bob junior baada ya hapo katoa hit song nying sana,, nalia na mengi,, nitarejea,,mawazo nataka kulewa.kesho na nyingine nyingi



amepata fursa moja na akaitumia vizuri hivi sasa diamond dunia nzima anafahamika na sichelei kusem kuwa yeye ndiye alie shika bendera kuiperusha katika tasnia ya muziki wa bongo flava kujulikana zaidi ulimwenguni kote ,,kwa kipindi cha miaka miwili ambyo ndio kajulikana kimataifa zaidi baada ya kutoa rimix ya #mynumberone akimhiriksha davido

sasa hivi ana tunzo zaidi ya 50 katika kabati lake hizi za nyumbani na nje ya nje hiv wiki kadhaa zilizo pita amemshinda miss india na kuchukua yye zawadi ya mtv ema ambayo nikubwa akiwabwaga  wasanii wakubwa wengine wakina davido,, wizkid katika kinyang`anyiro cha awali kabla ya kushindana na miss india

nini nataka kusema magufuli kaja na slogani ya hapa kazi tu,, ila hii slogani watu wasiitafiri vingine lazima atundee kazi kutokana na slogani yake lakini jitihada kubwa zipo kwako wewe mwenyewe kijana kuhangaika huku na kule kuweza kupata ajira kisha uwezeshwe

dimond kanionesha mfano mkubwa sana wa jitihada zake na kutuonesha vijana wengi kuwa tunapo pata fursaa hatuna budi kuzi shikilia na kuzifanyia kazi
hivi sasa dimond ni milionea ule msemo wa kingereza unao sema FROM ZERO TO HERO ndio haswa dimond alicho kifanya

bila shaka dimond jitihada zake za kimuziki zinaonekana na uongozi wake pia tunaona wanacho kifanya na  hivyo kufanya wengine waweze kuchakarika ili mambo yaende kama mfupa ushalika sasa wasanii mbali mbali mbali wanatka kufanya collabo na wasanii wa wa kitanzania ku juhudi binafsi za kijana wetu

kwanini kuna team,, team nzuri endapo zinge tumiwa vizuri namini katika watanzania milioni 45 nusu yake wanatumia mitandao ya kijamii kama siya pili kwa afrika katika utumiaji huo basi ya kwanza kulingana na idadi hiyo,,

team nzuri ila hizi timu tusizitumie vibaya kwa maana ya ilivyo sasa maana mimi nawewe unaye soma unae unaemshabikia katika hawa wanao shindanishwa kwanini tutukanane wakati tayari


muziki wetu ushaenda mbali kupitia huyu mtu na wengione wengi,,

uzuri wa hizi team ni pale tunapo ona kila mmoja anajitahidi sasa kutafuta uwezekano ili atusue zaidi lakini tusapoti wote,, na watanzania tumelemaa kwa alikiba na dimond pekeeake wakati kuna wasanii wengine kama belle9 ..ben poul na wengine kwanini tusiwapush wote ili mambo yaende na muziki wetu ukue zaidi

No comments:

Post a Comment