karibu

kwa habari moto moto

Friday, October 30, 2015

Magufuli ndiye raisi wa awamu ya tano wa jamhuri ya muungano wa Tanzania

dockta john pombe magufuli ndiye raisi wa awamu ya tano ya jamhuri ya muungano wa tanznaia, hii baada ya kuchaguliwa kwa ushindi mkubwa kura milion nane  sawa na 58.46% alio upata dhidi ya mgombea mwenza kutoka chadema edward lowasa alie pata milion  sita sawa na 39%


                                      mh docta john pombe magufuli

katika uchaguzi huo ana mghirwa amekuwa mshindi namba tatu mara baada ya kupata kura elf 92,waangalizi wa kimataifa wameisifu Tanznaia kwa uchaguzi wa amani na kufuata taratibu
                                               
moja ya picha za mheshimiwa john  pombe magufuli akiwa kijana, mgombea mwenza samia suluhu ndiye atakuwa makamu



samia suluhu akiwa katika kampeni

No comments:

Post a Comment