karibu

kwa habari moto moto

Monday, October 26, 2015

arsenal yapigwa faini chama cha soka uingerza


arsenal imepigwa faini ya  pound 60,000 na imepewa onyo zito  baada ya kuvunja sheria ya usajili iliyo wekwa na chama hca soka uingereza, hii imetokana na uhamisho wa kinda alie toka southampton 26, july 2014 
calm chambers wa arsenal

chma hiko kimesema arsenal haikufuata taratibu katika usajili huo wa beki , arsenal ilitoa paundi 12 kama ada ya usajili kwa mchezaji huyu raia wa uingereza

No comments:

Post a Comment