arsenal imepigwa faini ya pound 60,000 na imepewa onyo zito baada ya kuvunja sheria ya usajili iliyo wekwa na chama hca soka uingereza, hii imetokana na uhamisho wa kinda alie toka southampton 26, july 2014

calm chambers wa arsenal
chma hiko kimesema arsenal haikufuata taratibu katika usajili huo wa beki , arsenal ilitoa paundi 12 kama ada ya usajili kwa mchezaji huyu raia wa uingereza
chma hiko kimesema arsenal haikufuata taratibu katika usajili huo wa beki , arsenal ilitoa paundi 12 kama ada ya usajili kwa mchezaji huyu raia wa uingereza
No comments:
Post a Comment