Mauro Zarate aliweka West Ham mbele dakika ya 17 baada ya Chelsea kushindwa kujilinda vyema wakati wa kupigwa kwa kona.

carrol akifunga bao katika mchezo huo
Gary Cahill alisawazisha dakika ya 56 lakini Carroll aliyeingia kama nguvu mpya alifikia krosi ya Aaron Cresswell na kufunga kwa kichwa dakika ya 79
Meneja wa Chelsea Jose Mourinho alikataa kuzungumza na wanahabari baada ya kichapo hicho
No comments:
Post a Comment