dimond ndiye msanii wa kwanza kutOka AFRIKA na afrika mashariki kushinda tuzo hiyo kubwa duniani, ushindi huo ni mkubwa kwa dimond kwani alikuwa anaiwakilisha afrika nzima

dimond platnumz kiwa na ushindi wake wa mtv ema
dimond amewashukuru wa afrika wote kwa kumuwezesha kushinda tuzo hiyo,
No comments:
Post a Comment