karibu

kwa habari moto moto

Sunday, October 25, 2015

DIMOND PLATNUMZ ASHINDA MTV EMA

dimond platnumz ameshinda tuzo ya mtv ema mabyo alikuwa akishindana na mrembo kutoka india
dimond ndiye msanii wa kwanza kutOka AFRIKA na afrika mashariki kushinda tuzo hiyo kubwa duniani, ushindi huo ni mkubwa kwa dimond kwani alikuwa anaiwakilisha afrika nzima

diamond ema
dimond platnumz kiwa na ushindi wake wa mtv ema

dimond amewashukuru wa afrika wote kwa kumuwezesha kushinda tuzo hiyo,

No comments:

Post a Comment