karibu

kwa habari moto moto

Sunday, October 18, 2015

will smith kuachia ngoma mpya mwezi huu

will smith ata release  ngoma yake mpya mwezi huu amaba utakuwa wa miondoko ya kufoka foka baada ya kuwa nje ya uwanja miaka kumi(10) aki deal na filamu, pia msanii huyu ameshatoa video mpya ya fiesta 
will smith  pichani juu
msanii huyo ndiye msanii alie lipwa zaidi duniani kwa mwaka huu wa 2015
Jaden Smith na Willow Smith. hawa ni watoto wa will smith wote wasanii jarden mwanamuziki pia actor na willow yeye mwanamuziki wa kufoka foka pia na kuimba


No comments:

Post a Comment