will smith ata release ngoma yake mpya mwezi huu amaba utakuwa wa miondoko ya kufoka foka baada ya kuwa nje ya uwanja miaka kumi(10) aki deal na filamu, pia msanii huyu ameshatoa video mpya ya fiesta

will smith pichani juu
msanii huyo ndiye msanii alie lipwa zaidi duniani kwa mwaka huu wa 2015
No comments:
Post a Comment