karibu

kwa habari moto moto

Friday, October 9, 2015

LIVERPOOL YAPATA KOCHA MPYA

Timu ya soka ya liverpool imepata kocha mpya mara baada ya kumtimua kocha wake brendan rodgers siku tatu zlizo pita, hii ilitokana na mwenendo mbovu wa timu hiyo tangu kocha huyo alivyo ichukua 2011

jorgen klopp huyu ni kocha ambaye naye ali timuliwa virago msimu uliopita kutoka timu ya borrusia dotmund mara baada ya misimu miwili ya mafanikio

kloop ninani? jurgen klopp amezaliwa 16 june 1967, aliichezea mainz kwa miaka 12 baada ya hapo kawa manager wa timu , 2008 amejiunga na borrusia dotmund amabapo alichukua ubingwa wa bundesliga mara mbili mfululizo  2011 na 2012

amefunga jumla ya magoli 52 ambapo alicheza nafasi mbili tofauti aliwahi kucheza kama mshambuliaji  kabla ya kurudi kuwa beki mwaka wa 1995

aliifundisha mainz kwa miaka 7 baada ya kustaafu rasm soka na ali jiudhuru kuifundisha timu hiyo mwaka 2007-2008 record zakealimaliza kushinda mechi 109 ,  draw78 ,  alipoteza 83

hakuwahi kufundisha nchi nyingine zaidi ya ujerumani na sasa ni manager wa liverpool ambapo amekubali mkataba wa mika mitatu kuifundisha.

Record
timuWdrawya kufungwaushindi %Ref.
Mainz 0527 February 2001[2]30 June 2008[2]270109788340.37[2]
Borussia Dortmund1 July 2008[19]30 May 2015[15]318179697056.29[19]
Liverpool8 October 2015[21]yupo sasa0000!
jumla58828814715348.98

No comments:

Post a Comment