karibu

kwa habari moto moto

Thursday, October 15, 2015

Tanzia: mwenyekiti wa NLD PIA MWENYEKITI MWENZA kupita kivuli cha ukawa afariki dunia


 moja ya taarifa ya kusikitisha ya siku ya leo  ni kifo cha mwenyekiti mwenza wa UKAWA, ambaye alikua mwenyekiti wa chama cha NLD, Emmanuel Makaidi kufariki dunia akiwa hospitalini huko Lindi ambapo taarifa za mwanzo zinasema alikua akisumbuliwa na shinikizo la damu.
makaidi 2 

 Imethibitika, mwenyekiti mwenza wa UKAWA, Emmanuel Makaidi wa chama cha NLD amefariki dunia leo hospitalini Lindi.

ni mwna siasa wa nne kwa mwaka huu kuanzia august hadi mwezi huu, mungi ailaze roho ya maerehemu mahala pema peponi Aamin

chanzo cha habari hii:milardayo

No comments:

Post a Comment