
LUIS VAN GAL
City wameshinda sita kati ya debi nane zaidi za Manchester, kuanzia ushindi wao wa 6-1 walio upata mwaka 2011.
Lakini licha ya uhasama wa kinyumbani kati ya City na United, Van Gaal amesisitiza kwamba hataingiza hisia kwenye mechi hiyo ndipo timu yake iwe na nafasi nzuri ya kushinda debi ya pili mfululizo Old Trafford.
manchester city ndio inaongoza ligi hiyo ikifuatiwa na arsenal kwa uwiano mzuri wa magoli huku man u wakiwa watatu
No comments:
Post a Comment