karibu

kwa habari moto moto

Friday, October 23, 2015

baada ya ushindi dhidi ya buyern munich jumamosi arsenal na everton

baada ya arsenal kufanya vizuti mechi tatu mfululizo, jumosi hii itakutana ma everton saa 19:30 usiku, arsenal ilianza taratibu msimu huu baada ya kufungwa mechi ya ufunguzi na west ham united 2-0 katika dimba la emirate, wakati huo kiungo mkabaji wa timu hiyo Aaron ramsey kaumia misuli katika pambano la uefa dhidi ya buyern munchen ambapo arsenal imeshinda bao 2-o, oliever giroud na mesut ozil

arsenal ina hitajika ishinde mechi zake zote zilizo salia ili ipite 16 bora

The striker celebrates as the ball hits the back of the net

olivier giroud akiweka goli la kawanza dhidi ya buyern munich

ratiba ya wiki hii epl
Jumamosi 24 Oktoba 2015 Aston Villa v Swansea 15:00 Leicester v Crystal Palace 15:00 Norwich v West Brom 15:00 Stoke v Watford 15:00 West Ham v Chelsea 15:00 Arsenal v Everton 17:30
Jumamosi 25 Oktoba 2015 Sunderland v Newcastle 12:00 Bournemouth v Tottenham 14:05 Man Utd v Man City 14:05 Liverpool v Southampton 16:15

No comments:

Post a Comment