karibu

kwa habari moto moto

Sunday, October 25, 2015

arsenal yakaa kileleni msimamo wa ligi kuu epl kwa muda

arsenal imeifunga everton katika uwanja wake wa nyumbani wa emirate 2 goli la kwanza la mchezo huo lili fungwa na olvier giroud akipokea pasi nzuri kutoka kwa mesut ozil mzee wa google kama wanavyo muita wapenzi wa timu hiyo


hector bellerin na mesut ozil wakimpongeza olvier giroud baada ya kufunga goli la kwanza

katika mchezo huo ozil kafikisha assist(usaidzi) saba na kachangia ugfungaji wa magoli wa arsenal kila ushindi wa timu hiyo msimu huu

msimomo wa ligi hiyo kabla ya mechi za juma pili
(mchezo)(alioshinda)(sare) (aliyopoteza)(utofauti wa magoli)(alama)
Arsenal107121022
Man City97021621
West Ham10622920
Man Utd9612719
Leicester10541319
Crystal Palace10505115
Spurs9351414
West Brom10424-314
Southampton9342313
Everton10343013
Swansea10343013
Liverpool9342-213
Watford10343-213
Stoke10334-312
Chelsea10325-411
Norwich10235-79
Bournemouth9225-68
Newcastle9135-76
Aston Villa10118-84
Sunderland9036-113

No comments:

Post a Comment