idadi ya walio umia ligi kuu ya uingereza katika michuano ya kutafuta kufuzu michuano ya ulaya itakayo fanyika ufanansa mwakani yazidi kuongezeka tukio hili pia lina wapa nafuu mashabiki wa Manchester united kuona washambuliaji kadhaa wa jirani zao Manchester city kuumia, mmoja wao ni kun Sergio aguero ifuatayo ni idadi kamili ya wachezaji na timu zao timu
Arsenal
Thomas rosicky,dany welbeck hawa wana mda mrefu kukaa nje kwa kuumia viazi vya miguu wakati Laurent koscielny,mikel arteta na metheu flaming wnategemewa kurudi wekkend
BOURNEMOUTH
Callum wilson
Chelsea
Thibaut courtois week sita,blanislav ivanovic misuli na nemanja matic pia misuli
Crystal palace
Mile jedinak anatarajiwa kurudi
Leicester city
Mathew james
Everton
Leighton naines,tony hibbert na steven pienaar hadi novermber
liverpool
dejan lovren atakosa uchaguzi wa klopp wakati Roberto firmino na Jordan Henderson wanabaki kuwa katika mstari mwekundi wanaweza kurudi au wasirudi weekend hii
Manchester united
Luke shaw wakati wayne rooney,Michael carrick, bastian schweinsteiger ,ander herera na marcos rojo wana tarajiwa kurudi weekend hii
Manchester city
Sergio aguero hadi novermber wakati david silva nae wiki tatu nje ya uwanja
Hizo ni baadhi ya timu za uingereza ambazo zime athirika na kuumia wachezaji wake wakati wa mashindano ya kugombania kufuzu mataifa ya ulaya 2016
No comments:
Post a Comment