karibu

kwa habari moto moto

Saturday, October 17, 2015

mungu awarehehemu ndani ya kipindi kifupi sana

Patty Del Duero's photo.
hawa ni miongoni mwa walie tuachia simanzi ndani ya kipindi hiki kifupi cha uchagunzi ,, munug ndiye mjuaji wa kila kitu

wakti huo huo kesho juma pili ya tarehe 18.10.2015 kunatarajiwa kuwa na mdahalo ambao mgombea wa ccm dkt john pombe magufuli amethibitisha kuwepo katika mdahalo huo , huku edward lowas kupitia sallim mwalimu akiongea na gazeti la mwananchi hatokuwepo,, mdahalo huo utafanyika kuanzia saa 7?:30 mchana

No comments:

Post a Comment