
hawa ni miongoni mwa walie tuachia simanzi ndani ya kipindi hiki kifupi cha uchagunzi ,, munug ndiye mjuaji wa kila kitu
wakti huo huo kesho juma pili ya tarehe 18.10.2015 kunatarajiwa kuwa na mdahalo ambao mgombea wa ccm dkt john pombe magufuli amethibitisha kuwepo katika mdahalo huo , huku edward lowas kupitia sallim mwalimu akiongea na gazeti la mwananchi hatokuwepo,, mdahalo huo utafanyika kuanzia saa 7?:30 mchana
No comments:
Post a Comment