karibu

kwa habari moto moto

Friday, October 16, 2015

Tanzia!!!! Tanzia!!! Tanzia!!!

Ama kwa hakika wa watanzania wengi tumepatwa na simanzi jana emmanuel makaidi leo, mh deo filikunjombe ,, sio ccm tu bali hata vyama pinzani walielewa kazi zake , mungu ameweka siri kubwa sana katika swala hili la kifo,

wapinzani hawakusimamisha mgombea kutokana na deo filikunjombe alikuwa ana pigania kile ambacho hata wao wapinzani walikuwa wanakihitaji

,pia rubani maarufu tanzania william silaa naye amepoteza maisha katika ajali hiyomungu ilaze roho za marehemu mala pema pepo ni aamin

ibada na kufuata maamrisho yote aliyo yaamrisha na kuacha yote aliyo kataza maana siku na wakati hatufahamu,, mungu azilaze roho za marehemu mahala pema peponi;;;
Hussein H Kitambi's photo.

Moja ya Harakati zake wakati wa uhai wake deo filikunjombe

No comments:

Post a Comment