Martial ameichezea monaco msimu uliopita amepataa umaruufu zaidi pindi timu hiyo ilipo kuja kucheza na arsenal klabu bingwa ulaya, aliisumbuangome ya arsenal na kufanya vizuri nchini monaco pia kumemuongezea thamani kinda huyo,
chelsea walimfuatilia na wametoa ofa ya kuizidi manchester united mchezaj huyo amekataa kujiunga darajani ili atimize ndoto yake ya kutua manchester united, ambapo wamempa jezi namba 9 iliyo wahi kuvaliwa na rud van nestroy
kocha maricio puchettino kwa upande wake ame chukua maneja bora wa mwezi huu

picha ya antony martial akipokea zawadi yake
No comments:
Post a Comment