
msanii huyu wa michano ya hip hop amebahatika kuwa na mtoto mmoja na amesema atajitahidi kupata watoto kadri atakavyo jaaliwa na mungu,, amejilaumu kwanini amechelewa kuoa na amewashauri vijana kuwa umri sahihi wa kuoa ni miaka 25 kama uwezo upo kwa maana ya mahitaji muhimu na matunzo
akiongea na millard ayo tv rhino alipo ulizwa kuhu mwana fa amesesema kuwa wote ni watunzi wazuri na wako kaktika katika kiwango bora,,Fid q anatunga huwezi kuelewa kwa wakati huo ila anacho kiongea kina maana sana na ukielewa baadae ,fa anatunga direct unaelewa mda huo huo,, so wako vizuri wote
Alikiba amesema kuwa moja ya wasanii wenye sauti nzuri sana sauti yake ameifananisha na trampet(piano) vanesa mdee amesema ni moja ya wasanii walio katika image nzuri ya usanii na anaweza kweli ila anapenda sauti yake,,
alipo ulizwa dimond platnumz amesema ni hard work man, anafanya kazi na kutaka kile kitu alicho kiwaza akipate,, pia ana bahati
benpoul amemtaja kama ndio r&b ya ukweli kwa Tanzania,, christian bella amemtaja kuwa moja ya best na ni mbaya katika kuandika na ameshangaa ni msanii mkubwa na kinacho mkwamisha katika kutusua anahisi utaifa ndio una msababisha so utaifa ila sio sawa mwenye haki apewe
kama angekuwa jaji angempa best vocalist,best righter pia anahamu ya kufanya kazi na christiani bela wafanye bend na hip hop
No comments:
Post a Comment