
chege amemjibu ni kweli tuna enda kufanya biashara nyingine south africa ameongeza kuwa biashara hiyo ni kutoa video kali ambazo hapo awali hatujawahi kufanya wala hakuna biashara nyingine labda hizo ni ndoto za alinacha kuhisi kuna kitu tauti tunaenda kufanya ,, muziki sasa ni biashara na lazima ujitoe
alipo ulizwa kuhusu kuachana na saidi fella akasema kuwa saidi fela ndio kila kitu hii video aliyo toa sasahivi gharama yote anaijua fella yeye hajui sasa atamuachaje misago alimuuliza tena kuhusu fella na yamotoo chege amesema kwa sasa fella lazima akaae nao wale bado watoto tofauti na wao
No comments:
Post a Comment