karibu

kwa habari moto moto

Saturday, December 26, 2015

ni kweli tunaenda south afrika kufanya biashara nyingine-chege

chege chigunda mtoto wa mama saidi ameweka wazi mipango yake ya kufanya collabo nyingi mwaka 2016 na ametanabaisha kuwa kuna mambo makubwa ya suprize yanakuja mwaka huo akiongea na sam misago wa East africa wa kipindi cha power jam na friday night live pia chege alulizwa na mtangazaji huyo kuhusu neno la afande sele kuhusu wasanii kufanya video south africa


chege amemjibu ni kweli tuna enda kufanya biashara nyingine south africa ameongeza kuwa biashara hiyo ni kutoa video kali ambazo hapo awali hatujawahi kufanya wala hakuna biashara nyingine labda hizo ni ndoto za alinacha kuhisi kuna kitu tauti tunaenda kufanya ,, muziki sasa ni biashara na lazima ujitoe
alipo ulizwa kuhusu kuachana na saidi fella akasema kuwa saidi fela ndio kila kitu hii video aliyo toa sasahivi gharama yote anaijua fella yeye hajui sasa atamuachaje misago alimuuliza tena kuhusu fella na yamotoo chege amesema kwa sasa fella lazima akaae nao wale bado watoto tofauti na wao

No comments:

Post a Comment