wenye sauti laini kama siagi, Bwana Alikiba ni mfalme wa Tanzania kwa kila namna. Baada ya pumziko refu kwenye game ya muziki, alikiba arejea tena na ngoma kali balaa, zikiwemo: Mwana na Chekecha Cheketua. Alikiba ni sababu tosha kuamini kuwa vipaji Afrika vitadumu milele. Ni mfano bora wa jinsi gani wasanii wanaweza kududna na kurejea katika game. Usimkose mwandishi huyu katika Coke Studio Africa msimu wa 3.
SAFARI YAKE YA MUZIKI
Alikiba Saleh Kiba ni msanii, mwandishi wa mashairi, mtayarishaji, mchezaji, muigizaji na model kutokea Tanzania. Ni msanii wa Bongo Fleva, aina ya muziki unaotamba sana na kuimbwa na wengi Tanzania. Kutoka na kampuni ya utafiti ya Kenya, mwaka 2011, Alikiba alitajwa kama msanii alieuza nakala nyingi kwa Afrika Mashariki. 2009, Alikiba alitajwa katika tuzo za Africa Music Awards kama Best East African Artist kule Uingereza

Alikiba Saleh Kiba ni msanii, mwandishi wa mashairi, mtayarishaji, mchezaji, muigizaji na model kutokea Tanzania. Ni msanii wa Bongo Fleva, aina ya muziki unaotamba sana na kuimbwa na wengi Tanzania. Kutoka na kampuni ya utafiti ya Kenya, mwaka 2011, Alikiba alitajwa kama msanii alieuza nakala nyingi kwa Afrika Mashariki. 2009, Alikiba alitajwa katika tuzo za Africa Music Awards kama Best East African Artist kule Uingereza

WANAOMHAMASISHA KIMUZIKI
Alikiba is anahamasishwa sana na Usher.
Alikiba is anahamasishwa sana na Usher.
BACKGROUND
Baada ya kumaliza shule mwaka 2004, Alikiba aliandika nyimbo yake ya kwanza “Maria” kisha akaendelea kutoa single baada ya hapo, zikiwemo; “Najuwa”, “Ndugu wangu”, “Kuteseka”, “Namshukuru Mungu”, “Sabrina”, “Yatima” na nyingine nyingi.
Baada ya kumaliza shule mwaka 2004, Alikiba aliandika nyimbo yake ya kwanza “Maria” kisha akaendelea kutoa single baada ya hapo, zikiwemo; “Najuwa”, “Ndugu wangu”, “Kuteseka”, “Namshukuru Mungu”, “Sabrina”, “Yatima” na nyingine nyingi.
MENGINE KUHUSU
Alikiba anapenda mpira na kama asingefanikiwa kuwateka watu katika majukwaa ya muziki basi hakika angekuwa akiwakusanya watu katika viwanja vya mpira. Raisi wa Tanzania, Jakaya Kikwete alimtunuku Alikiba kwa ajili ya mchango wake mkubwa kwenye sanaa na tamaduni ya muziki Tanzania.
Alikiba anapenda mpira na kama asingefanikiwa kuwateka watu katika majukwaa ya muziki basi hakika angekuwa akiwakusanya watu katika viwanja vya mpira. Raisi wa Tanzania, Jakaya Kikwete alimtunuku Alikiba kwa ajili ya mchango wake mkubwa kwenye sanaa na tamaduni ya muziki Tanzania.
copy and pest from coca-cola website
No comments:
Post a Comment