karibu

kwa habari moto moto

Saturday, December 5, 2015

dawasco yapandisha bei ya maji

Dawasco yapandisha bei ya maji
Shirika la Majisafi na Majitaka Dar es Salaam (Dawasco), limeanza rasmi kutumia bei mpya za ankara za maji, ikiwa ni siku chache baada ya Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma ya Nishati na Maji (Ewura) kupitisha mapendekezo ya kupandisha bei kama walivyoomba.
Awali, Dawasco iliomba kuongeza bei ya utoaji wa huduma hiyo ili kuboresha huduma zake katika Jiji la Dar es Salaam, Kibaha na Bagamoyo mkoani Pwani.
source as you see link above mwananchi communication .co.tz



No comments:

Post a Comment