karibu

kwa habari moto moto

Saturday, December 12, 2015

Wamechemka kutuchora sehemu ya pili ya makala

Baada  ya  mataifa mengi jirani kutuangalia kwa jicho la husda na kutaka kuona jinsi gani mwaka huu wa uchaguzi tutawezaje kumwaga damu kama zilivyo nchi zao hii sasa inaonesha dhahiri wamechemka kwakuwa  kile walicho kitarajia hakikuweza kupatikana, wengi wao walikuwa wanaangalia jinsi gani Tanzania wanamwaga damu na ilikuwa wazi kwani hata raisi wa Rwanda PAUL KAGAME  yeye ameweka wazi kabisa kabla uchaguzi kufanyika kuwa tunataka kuona Tanznaia inayo hubiri amani tuone mwaka huu,,
Hayo maneno yalikuwa na uzito mkubwa sana kwa taifa letu ambalo kwa bahati nzuri hatuna uchafu wa kuvurugika kwa amani,, ni kweli tuna uhuru wa amani ila sio uhuru wa maisha lakini ni tofauti kabisa na nchi nyingine za afrika hawana uhuru wa amani wala uhuru wa masiha vyote wamekosa ukivichanganya hivyo jibu lake umasikini najua wazi kuwa kuna viongozi ambao wana roho za viongozi wa burundi au rwanda congo na nchi nyingine zenye mgogoro lakini inapo fika swala la amani bado tunarudi kuwa kitu kimoja na tuna songesha taifa letu katika mstari ulio nyooka , hii ina maana kuwa Tanzania bado itaabaki kuwa kisiwa cha amaani japo amani ya nadhani lia amabapo kila mwananchi wake anaitazama amani hiyo kama tunu au lulu pekee ya maendeleo
Kagame alivyoona presha ya uchaguzi na mwamko uliopo kwa wa tanzania kutaka mabadiliko ya kimaendeleo walijua kabisa endapo mmoja kati ya lowasa au magufuli atakae anguka vurugu itaanza na waanze kufurahi kuwa kitumbua kimeingia mchanga kumbe si hivyo wafikiriavyo
Tanzania pamoja na majanga yote ya kikatili yaliyopo ila bado kuna imani kubwa ya kumuogopa mtu anae itwa amani,, AMANI,, hii inatupandisha chati ya dunia kupenda kutembelea nchi yetu na kufanya utalii mbali mbali
hii inatukumbusha kuwa amani tulie nayo na mali adhimu walie tuachia walio tangulia mbele ya haki hii ina maanisha kuwa  sisi binadamu hatuwezi kufurahia maendeleo ya mwigne hadi nae aingie katika matatizo
             


RAMANI YA TANZANIA IKIWA KATIKA UBORA WAKE NA JINSI MUNGU ALIVYO IPENDELEA UZURI

hii kwa sasa kuna vitu vingi vimechagizwa navyo raisi magufuli anafanya vizri na kuamua kutengeneza Tanzania mpya na bado tuna muombea dua mungu amjalie ili asirudi nyuma katika juhudi zake za kulikomboa taifa wale walio taka tugombane sasa wanaiiga mfano kutoka kwa raisi huyo kwa yale mazuri anayo yafanya ya kutumbua majipu kama ilviyo slogani yake
katika hili nimwambie magufuli asikate tamaa
 kablaya uchaguzi niliandika wanatuchora sasa hii ndio mrejsho wake



No comments:

Post a Comment