karibu

kwa habari moto moto

Friday, December 11, 2015

roberto wa amalula amsfia magufuli

ROberto wa AMRULA ametua dar kwa ajili ya show , akiongea na millard ayo tv reborto ameongea vitu vingi sana vya kuihusu Tanzania na wasanii wake alipo ulizwa juu ya kuzungunzwa kwa magufuli roberto amemsifia raisi magufuli tena kwa mifano
Roberto

roberto ameyasema mengi kuhusu dk magufuki kubwa alilo sema kiongozi huyu ni mfano mzuri wa kuigwa kwa wa afrika wote na atapata kitu cha kuongea akifika zambia juu ya serikali yake na raisi wa nchi hiyo roberto pia amesema magufuli anaongoza kwa mifano ni nadra sana viongozi kama hao kutokea afrika nampa saluti raisi wenu  siku chache alizo kaa na mabadiliko tuna yaona hivyo ndivyo kiongozi anatakiwa
roberto ambae amekuja katika show amesema kuwa vanesa mdee amefanya nae collabo na nyimbo iko tayari  pia kuna collabo na shetta  baada ya show atapata nafasi ya kuzunguza na uongozi wa alikiba pia uongozi wa dimond katika  kufanya nao kazi, mkali huyu wa hit single ya amalula ameongeza kuwa nyimbo  za tanznaia zinapigwa sana zambia hususani dimond planumz alikiba ,, vanesa mdee na feza kessy

No comments:

Post a Comment