karibu

kwa habari moto moto

Sunday, December 20, 2015

sasa tume waweza wanigeria imebaki 1%

Tumewaweza  hii ndio lugha rahisi ambayo inaweza kutumika katika kuelezea muziki wa Tanzania kwa hatua iliyo fikia  kwa sasa kwanini tumewaweza? Tanzania tuna kila kitu kwa upande wa wasanii wetu ambayo kilicho pungua ni lugha tu kwa maana ya lugha ya kingereza vinginevyo 85% tuko vizuri, kwa sasa tupo nafasi ya kwanza au ya pili tukichuana na nigeria ,
nigeria hawa tuwezi kwa lolote kuanzia mashairi beat na ubora kwa vina lakini kwanini uta shangaa wako juu sana hawa watu  kikubwa walicho kifanya wamewekeza katika muziki kuanzia kupromote nyimbo hadi katika video na kikubwa walicho tuacha sisi ni video ambazo wanafanya uwekezaji mwingi katika hilo
nigeria kama unafuatilia vizuri muziki haswa tumeanza kuwaelewa 2008 na two face idibia ndio baba yao wengi wao hawatoweza kubisha hili kuwa two face ndiye alie itambulisha vizuri nigeria baada ya hapo akaja p-square ndio wakafungua milango mbali mbali kwa wengine kama yule producer jmartins na wengine wakaja wengi wengi wakainua muziki wao  na kuonekana moto wa kuotea mbali walituacha mbali mita 10000 lakini jitihada binafsi  ya mtu mmoja mmoja kama vile dimond platnumz na wengine walio jitahidi  AY , alikiba, muziki wetu sasa umekuwa na kutoka mita elfu kumi sasa tupo karibu yao mita 9999 bado mita moja tu tuwavuke kabisa
hiyo mita moja ina kwamishwa na vitu vifuatavyo lugha,wasanii kutopendana, hawapendi ushirikiano kila mtu mkubwa zaidi ya mwenzake, ubinafsi ,  team hii na timu ile hii ndio mita moja ina kwamisha
wenzetu  wanigeria baada ya kutoboa wakawa wale walie toboa wana peana mashavu wenyewe kwa wenyewe mfano walivyo toka p-square wakawapa mashavu blackets kwa kushirikiana nao baada ya haapo wakashirikiana na jmartins, wakaenda kumpush mr flava mara wakawapush engine na sasa wako juu  na pia uwezo wa mmoja mmoja unaleta changa moto
kwa mashairi yao yanayo tegemea beat kama walivyo south afrika  beat lina wabeba tofauti na sisi beat zuri na mashairi mazuri
kama  watanzania wakiacha ubinafsi kilicho baki kutusua msanii ambae naweza kusema anavyote kwa tanzania ni vanesa mdee huyu ana jua kingereza pia ana jua kiswahili piaa anajua timing ya kumtafuta producer wa beat safi ambaye anaweza kumtengenezea hit song huyu ukinambia heti yemi alade anamshinda nakuwa sikuelewi  yemi alade mashairi yake ya kawaida na mwaka ujao nafikiri vanesa mdee ndiye atakuwa top female in afrika kwa jinsi ilivyo na tuashangaa wote mada ya vmoney itakuja

alikiba ,dimond platnumz,ay,vanesa mdee,belle9,ben paul,lina hawa wanaweza kuwa kuwa manage wasanii wote nigeria isipokuwa p square
kwanini nimesema tume waweza? kwa sasa kilicho baki ilikuwa video bora tu ambayo ushindani uliopo Tanzania kwa sasa  unaleta  faraja watu kutoa vichupa vizuri ambavyo nifaida kwa ajili ya kuwa maliza nigeria sasa tanzania tumeingia katika sehemu ya mwisho ambayo walikuwa wana tufunika katika uwekezaji wa video na sasa tunawekeza video kubwa  mfano video zilizo toka mwezi huu tu ni salamu tosha kwa nigeria, mfano JE UTANIPENDA-hii ina maudhui mazuri sana mle, NAGHARAMIA- ina maelezo mazuri mle katika video , TIGNISHA BODY yao mmy dimpoz, hali kadhalika ben paul naye katoa video kali, izzo busnes, mwana fa , ni video kubwa sana

No comments:

Post a Comment