Kiungo wa arsenal ametajwa mchezaji bora wa mwezi november ligi kuu ya uingereza(pfa fans
Ozil alikuwa anashindana na beki wa Manchester United Chris Smalling na Leicester striker Jamie Vardy.
Ozil pia ame kuwa mchezjai wa kwanza msimu huu ktk ligi tano kubwa kuwa ame saidia upatikanaji wa magoli zaidi,

Ozil ame fanya usaidizi katika timu ya arsenal 12 msimu huu na kavunja record ya kusaidia mara sita mfululizo
No comments:
Post a Comment