karibu

kwa habari moto moto

Tuesday, December 8, 2015

ozil atajwa mchezaji bora wa mwezi november akiwa ju ya jamei vardy nachriss smalling

Kiungo wa arsenal ametajwa mchezaji bora wa mwezi november ligi kuu ya uingereza(pfa fans
Ozil alikuwa anashindana na beki wa Manchester United  Chris Smalling na Leicester striker Jamie Vardy.
Ozil pia ame kuwa mchezjai wa kwanza msimu huu ktk ligi tano kubwa kuwa ame saidia upatikanaji wa magoli zaidi, 
Ozil has 12 Premier League assists to his name this season
Ozil ame fanya usaidizi katika timu ya arsenal 12 msimu huu na kavunja record ya kusaidia mara sita mfululizo

No comments:

Post a Comment