Ay yupo south africa kwa ajili ya kushoot video yake ya ZIGO huku akionekana akiwa na dimond platnumz katika cover photo ambayo ilitolewa na kampuni anayo shoot nayo huku ay akifanya vitu vyake kimya kimya

mnamo mwezi wa watatu AY alifanya mahojiano na BONGO 5 na alisema kuwa kuna watu wengi hakuwza kuwataja ila amesema ni wengi mmoja wapo ndio tayari tusha mfahamu tunasubiri
No comments:
Post a Comment