ali kiba akiwashukuru mashabiki wake na kuongea mengi na millard ayo tv wakati akiulizwa kuhusu video aliyo enda kufanya marekani alikiba amesema ni video yangu lakini pia nimefanya tamasha la ile wildaid pia ipo kionjo cha wanyama katika video yangu kama balozi wa wanyama Tanzania nimefanya na nimefanya na director wakubwa ambao wamefanya kazi na wasanii icon (wakubwa duniani) na vitu vingi vizuri vitakuja na fans wangu wata furahi
millard alipo muuliza k

alipo ulizwa kuhusu ushindani uliopo alikiba alikiri kuwa kuna ushindani mkubwa millard akamuuuliza yeye kitu gani amebadilisha katika ushindani huo akajibu video na hata style ya uimbaji umekuwa mkubwa tofauti na sasa mwimbaji huyu wa mwana na chekecha hivi sasa nagharamia aliyo shirikiana na christian bella amesema hana bifu na mtu yoyote na wala hashindani na mtu yoyotena ameomba upendo katika wasanii ili muziki uzidi kwenda mbali
No comments:
Post a Comment