karibu

kwa habari moto moto

Sunday, December 27, 2015

ben paul sio rafiki yangu lakini tuna piga story sana-alikiba

sina ugomvi na ben paoul bali ni washikaji wakawaida ambao tuna piga story za  kawaida wala sina utani na ben paul ila tuko vizuri kwa maana hatuna ugomvi  alikiba amesema yawezekana ameghafirika  maana sikutegemea number yangu anayo angenicheki angeniambia kawaida kwani kila mtu anamawazo yake na anaweza ongea chochote.
ali kiba akiwashukuru mashabiki wake na kuongea mengi na millard ayo tv wakati akiulizwa kuhusu video aliyo enda kufanya marekani alikiba amesema ni video yangu lakini pia nimefanya  tamasha la ile wildaid pia ipo kionjo cha wanyama katika video yangu kama balozi wa wanyama Tanzania nimefanya na nimefanya na director wakubwa ambao wamefanya kazi na wasanii icon (wakubwa duniani)  na  vitu vingi vizuri vitakuja na fans wangu wata furahi

millard alipo muuliza kuhusu account yake ya istagram kama ana mpost mtu anaandika #sorptedbykingkiba alijibu kuwa kila mtu yuko tofauti lakini nataka niwa prove wrong watu ambao wanasema sishrikiani na wenzangu na wajue kuwa nawasapoti na nawathamini
alipo ulizwa kuhusu ushindani uliopo alikiba alikiri kuwa kuna ushindani  mkubwa millard akamuuuliza yeye kitu gani amebadilisha katika ushindani huo akajibu video na hata style ya uimbaji umekuwa mkubwa tofauti na sasa mwimbaji huyu wa mwana na chekecha hivi sasa nagharamia aliyo shirikiana na christian bella amesema hana bifu na mtu yoyote na wala hashindani na mtu yoyotena ameomba upendo katika wasanii ili muziki uzidi kwenda mbali

No comments:

Post a Comment